Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 5

Mambo ya Walawi 5:12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Atauleta kwa kuhani, na kuhani atachukua konzi moja ya unga kama ukumbusho wa wema wa Bwana na atauweka juu ya madhabahu na kuteketeza juu ya sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.

Read Mambo ya Walawi 5Mambo ya Walawi 5
Compare Mambo ya Walawi 5:12Mambo ya Walawi 5:12