Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 21

Mambo ya Walawi 21:17-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17Zungumza na Aroni na umwambie, 'mtu yeyote wa ukoo wako katika vizazi vyako vyote mwenye kasoro mwilini mwake, asisogee kutoa chakula kwa Mungu wake.
18Mtu yeyote mwenye kasoro mwilini mwake asimkaribie Yahweh,
19mtu kama vile: kipofu au mtu asiyeweza kutembea, mtu aliyeharibiwa uso au kupungukiwa na viungo mwilini, mtu aliye na mguu au mkono wenye ulemavu,
20mtu mwenye kibiongo mgongoni mwake au aliye na kimo kidogo au wembamba usio wa kawaida, au mtu mwenye kasoro machoni mwake, au mwenye ugonjwa, kidonda, upele, au yule ambaye korodani zake zimeharibiwa.

Read Mambo ya Walawi 21Mambo ya Walawi 21
Compare Mambo ya Walawi 21:17-20Mambo ya Walawi 21:17-20