Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 18

Mambo ya Walawi 18:13-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
14Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
15Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.

Read Mambo ya Walawi 18Mambo ya Walawi 18
Compare Mambo ya Walawi 18:13-15Mambo ya Walawi 18:13-15