Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 24

Luka 24:30-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
31Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
32Basi, wakaambiana, “Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?”

Read Luka 24Luka 24
Compare Luka 24:30-32Luka 24:30-32