Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 1

Luka 1:6-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu; walitembea bila lawama katika amri zote na maagizo ya Bwana.
7Lakini hawakuwa na mtoto, kwasababu Elizabethi alikuwa tasa, na kwa wakati huu wote wawili walikuwa wazee sana.

Read Luka 1Luka 1
Compare Luka 1:6-7Luka 1:6-7