3Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
4Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
5Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.