Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 11

Luka 11:42

Help us?
Click on verse(s) to share them!
42Lakini ole wenu Mafarisayo, kwani mnatoa zaka ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboga ya bustani. Lakini mmeacha mambo ya haki na kumpenda Mungu. Ni muhimu zaidi kufanya yaliyo ya haki na kumpenda Mungu, bila kuacha kufanya na hayo mengine pia.

Read Luka 11Luka 11
Compare Luka 11:42Luka 11:42