Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Isaya - Isaya 10

Isaya 10:23-25

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23Maana Bwana wa majeshi, anakaribia kuleta uharibifu utachukua nafasi kubwa kitika nchi.
24Hivyo basi Bwana Yahwe wa majeshi anasema, ''watu wangu mhishio Sayuni, msiwaogope watu wa Asiria. Atawangamiza nyie kwa fimbo na atawanyua wafanyakazi juu yenu, kama ilivyotokea kwa Wamisri.
25Msimuogope, kwa mda mfupi hasira yangu itakwisha juu yenu, na hasira yangu italeta uharibifu.''

Read Isaya 10Isaya 10
Compare Isaya 10:23-25Isaya 10:23-25