Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 26

Hesabu 26:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
9Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
10Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.

Read Hesabu 26Hesabu 26
Compare Hesabu 26:8-10Hesabu 26:8-10