Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 25

Hesabu 25:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Watu wa Israeli wakaungana kumwabudu Baali wa Peori, na hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya Israeli.
4BWANA akamwambia Musa, “Waue viongozi wote wa watu na uwanyonge mbele yangu ili waonekane wakati wa mchana, ili kwamba hasira yangu kali iondoke kwa Israeli.”
5Kwa hiyo Musa akawaambia viongozi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awanyonge watu wake ambao wameshiriki kumwabudu Baali wa Peori.”

Read Hesabu 25Hesabu 25
Compare Hesabu 25:3-5Hesabu 25:3-5