17“Watendee Wamidiani kama maadui na uwaangamize, kwa kuwa waliwatendea kama maadui
18kwa kuwadanganya. Waliwaongoza katika uovu kwa swala la Peori na kwa swala la dada yao Cozibi, binti wa kiongozi wa Wamidiani, ambaye aliuawa siku ile ya tauni kwa swala la Peori.”