Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 25

Hesabu 25:17-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17“Watendee Wamidiani kama maadui na uwaangamize, kwa kuwa waliwatendea kama maadui
18kwa kuwadanganya. Waliwaongoza katika uovu kwa swala la Peori na kwa swala la dada yao Cozibi, binti wa kiongozi wa Wamidiani, ambaye aliuawa siku ile ya tauni kwa swala la Peori.”

Read Hesabu 25Hesabu 25
Compare Hesabu 25:17-18Hesabu 25:17-18