9kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”