Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 1

Hesabu 1:51-52

Help us?
Click on verse(s) to share them!
51Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
52Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.

Read Hesabu 1Hesabu 1
Compare Hesabu 1:51-52Hesabu 1:51-52