Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 1

Hesabu 1:2-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
3kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
4Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
5Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
6kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
7Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni

Read Hesabu 1Hesabu 1
Compare Hesabu 1:2-9Hesabu 1:2-9