Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 1

Hesabu 1:16-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
17Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
18na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.

Read Hesabu 1Hesabu 1
Compare Hesabu 1:16-18Hesabu 1:16-18