Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 13

Hesabu 13:5-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
7Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
8Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
9Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
10kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
11kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
12kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
13kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;

Read Hesabu 13Hesabu 13
Compare Hesabu 13:5-13Hesabu 13:5-13