Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 13

Hesabu 13:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
5Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;

Read Hesabu 13Hesabu 13
Compare Hesabu 13:4-6Hesabu 13:4-6