Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 13

Hesabu 13:10-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
11kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
12kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
13kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
14kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
15kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
16Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
17Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
18Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.

Read Hesabu 13Hesabu 13
Compare Hesabu 13:10-18Hesabu 13:10-18