Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 11

Hesabu 11:3-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Mahali pale paliitwa Tabera, kwa sababu moto wa BWANA uliwaka kati yao.
4Baadhi ya wageni wakaanza kuweka kambi zao pamoja na wana wa wa Israeli. Walitaka kula chakula kizuri. Kisha wana wa Israeli walipoanza kulia wakisema, “Ni nani atakayetupatia nyama za kula?

Read Hesabu 11Hesabu 11
Compare Hesabu 11:3-4Hesabu 11:3-4