3Mahali pale paliitwa Tabera, kwa sababu moto wa BWANA uliwaka kati yao.
4Baadhi ya wageni wakaanza kuweka kambi zao pamoja na wana wa wa Israeli. Walitaka kula chakula kizuri. Kisha wana wa Israeli walipoanza kulia wakisema, “Ni nani atakayetupatia nyama za kula?