Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - 1Wafalme - 1Wafalme 19

1Wafalme 19:18-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Lakini nitawaacha watu elfu saba katika Israeli kwa ajili yangu, ambao magoti yao hayajawahi kupigwa kwa Baali, na ambao midomo yao haijambusu.”
19Kwa hiyo Eliya akaondoka mahali pale na akamkuta Elisha mwana wa Shafati, akilima na jozi za makisai kumi na mbili mbele yake, na yeye mwenyewe alikuwa akilima na ile jozi ya kumi na mbili. Eliya akaenda mpaka kwa Elisha akamtupia vazi lake juu yake.

Read 1Wafalme 191Wafalme 19
Compare 1Wafalme 19:18-191Wafalme 19:18-19